Image
Image

News Alert:Wanafunzi wa Darasa la Tatu na la Nne wanasomea chini ya mti kwa zaidi ya miaka mitano Mkoani Tabora.


Baadhi ya wanafunzi wakionekana wakisomea chini ya mti (Picha na maktaba Yetu).

Wanafunzi wa Darasa la Tatu na la Nne katika Shule ya Msingi Msekela katika Kata ya Kalola Wilayani Uyui Mkoani Tabora, wanasomea nje chini ya miti kwa zaidi ya miaka mitano .

Hali hiyo inadaiwa inatokana  na kile    kinachodaiwa   kuwa wananchi  kukosa  mwamko wa kuchangia ujenzi wa madarasa .

Mwalimu Mkuu wa shule hiyo,Bwana   LUCUS MPENA  amesema  wanafunzi wameanza kusoma wakiwa wanakaa   chini tangu shule hiyo ilipoanzishwa, mwaka 2009  na juhudi za wananchi  zimekuwa  kidogo ambapo wa mefanikiwa   kujenga madarasa mawili.

Mwanzilishi wa shule hiyo ya Msekela,Bwana SHABANI KAYUGU  amesema   shule hiyo iliyoanzishwa ikiwa na wanafunzi wanafunzi 30 wavulana 13 wasichana 17 na sasa ina wanafuzi 320, ikiwa na darasa la awali lenye wanafunzi 35, ambao pia  h usoma wakiwa chini ya miti.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment