Dk.Slaa ametoa kauli hiyo wakati akizungumza katika kongamano la la kutafakari na wazee kuhusu uchaguzi mkuu wa mwaka huu ambapo amesema sasa umefika wakati wa kila mzee
kutambua kuwa sasa ni muda wa mabadiliko.
Awali akitoa salamu zake Mh.Mabere Marando na ambaye
ni mwenyekiti wa kanda ya Pwani amewaomba wazee kuhamasisha watu wajitokeza
kujiandikisha ili waweze kupata nafasi nzuri ya kupiga kura ,kura amabyo italeta
mabadiliko katika nchi.
Kwaupande wake Mh.Hashim Juma mwenyekiti wa baraza la wazee wa chama hicho amesema kwa kipindi
kirefu wazee wamesahaulika nchini na
hivyo umefika muda wa kubadilisha mfumo
ili waweze kupata haki zao.
0 comments:
Post a Comment