Image
Image

Manispaa ya Kinondoni kutumia nguvu kuzuia watu kwenda kambi ya wagonjwa wa kipindupindu mburahati.

Manispaa ya Kinondoni imeonya kuwa itatumia nguvu za dola kuwazuia watu kwenda kambi ya wagonjwa wa kipindupindu ya Mburahati ambako serikali inagharimia kila kitu kwa wagonjwa.
Mganga Mkuu wa Manispaa Bwana AZIZ MSUYA amesema watu kwenda kambini hapo kuwaona wagonjwa au kuwapelekea chakula kumechangia kuwepo maambukizi mapya kufanya hadi sasa wilaya ya Kinondoni iwe na wagonjwa 300.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment