Image
Image

ACT wamtaka Rais Magufuli kuingilia kati mkwamo wa kisiasa visiwani Zanzibar na kupatiwa ufumbuzi.



Chama cha ACT wazalendo kimemtaka rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Maguli kuingilia kati sakata lililiopo  visiwani Zanzibar kwa sababau  Tanzania haijakamilika kama Zanzibar haipo.

Kingozi mkuu wa chama hicho Mh.Zito Kabwe amesema kitendo cha kutokuchukuliwa kwa hatua  kwa mambo yanayoendelea Zanzibar siyo sawa na hivyo rais Magufuli anatakiwa amshinikize mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Zanzibar kutangaza matokeo ili kusudi kuondoa sinto fahamu inayo endelea visiwani humo.

Kwaupande wake Mwenyekiti wa chama hicho Bi.Anna Mghwira amabaye alikuwa ni miongoni mwa weagombea urais amesema wanashukuru ucaguzi umeisha na wataendeleza mipango yao kama kawaida  na wanashukuru kuwa serikali ya awamu ya tano imeanza vyema.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment