Baadhi ya wananchi wa shimo la
udongo kurasini jijini Dar es Salaam wamelalamikia zoezi la bomoa bomoa ambalo
limeendeleshwa leo na maafisa wa manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam baada
ya wananchi hao kutakiwa kuondoka eneo hilo baada ya kufanyiwa tathimini ya
malipo na serikali na kusema malipo hayo ni madogo kulingana na gharama za
nyumba zao.
Home
News
Latest News:Wakazi wa Shimo la udongo wa Bomolewa nyumba zao baada ya kutakiwa kuondoka eneo hilo.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


0 comments:
Post a Comment