Image
Image

Rais Magufuli amteua Dk.Tulia kuwa Mbunge.


Rais Dokta.John Pombe Magufuli amemteua Dokta.Tulia Ackson Mwansasu kuwa mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uteuzi ambao umeuwasilisha kwa katibu wa bunge Dokta Thomas Kashilila.

Uteuzo huo ni kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara TA 66 ambayo inampa madaraka rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuteua wabunge 10.

Dokta.Tulia ambaye kwa sasa anagombea pia nafasi ya Uspika wa Bunge anakuwa mbunge wa kwanza kuteuliwa na rais Dokta.Magufuli na anatarajiwa kuapishwa rasmi katijka mkutano wa kwanza wa Bunge la kumi  na moja unaonza kesho jumanne mjini Dodoma.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment