Wakichukua fomu katika ofisi
ndogo za ccm zilizopo lumumba jijini Dar es Salaam baadhi ya wagombea hao
wameelezea baadhi ya mambo yaliyowasukuma kugombea nafasi hiyo nyeti kwa taifa.
Katibu wa idara ya oganizesheni
wa CCM Dk.Mohamed Seif Khatibu mbali na kuwataja makada waliokwisha chukuwa
fomu amesema wagombea 16 siyo wabunge na wagombea wawili ni wabunge na kwamba
nafasi bado ziko wazi kwa kila kada anayeona anakidhi kushika wadhifa huo.


0 comments:
Post a Comment