Image
Image

Asilimia 62% ya wakazi wa jimbo la Handeni wameshindwa kujitokeza kupiga kura.


Asilimia 62% ya wakazi wa jimbo la Handeni wameshindwa kujitokeza kupiga kura wakidai kuwa tayari wameshajua kuwa mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM ataibuka mshindi kufuatia wagombea nafasi za ubunge kwa tiketi ya chama cha wananchi CUF na chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kushindwa kuafikiana kusimamisha mgombea mmoja.
Katika kinyang'anyiro hicho msimamizi wa uchaguzi jimbo la Handeni mji amemtangaza mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM Mheshimiwa Omary Abdalla Kigoda kuwa mshindi baada ya kupata kura 10,315 akifuatiwa na shundi aidan wa CUF alipata kura 2415 na nafasi ya tatu ikishikiliwa na mgombea ubunge kwa tiketi ya chadema Daud Lusewa aliyepata kura 648.



Kwa upande wake msimamizi wa uchaguzi  jimbo la handeni mji Bwana Keneth Haule amesema jumla ya wapiga kura walikuwa 38,610 lakini walijitokeza kupiga kura walikuwa 13,591.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment