Image
Image

Zifahamu dalili za upungufu wa damu kwa mama mjamzito.

Upungufu wa damu mwilini hili ambalo huweza kumtokea mtu yeyote katika maisha yake, lakini tatizo hili  si ajabu kabisa kumpata mama wajawazito. Dalili kwa upungufu wa damu mwilini
1. Kusikia kizungu zungu
2. Kukosa nguvu
3. Kubadilika rangi ya mwili kuwa mweupe kuliko kawaida , utaona viganjani,kwenye kucha ,macho na ulimi
4, Kukosa umakini wa kuona vizuri
5, Mapigo ya moyo Kwenda mbio
6, kushindwa kupumua vizuri
7, Kuvimba miguu
Miongoni mwa madhara yanayoweza kumkumba mama mwenye tatizo hili ni pamoja na kumuweka hatarini mama mjamzito ya kupoteza uhai wake pindi ajifunguapo, hii ni kwasababu  zoezi zima la kujifungu linahitaji damu ya kutosha ,jambo ambalo pia humwadhiri mtoto tumbon.

Hata hivyo kuna baadhi ya vitu ambavyo mama anaweza kutumia ili kuongeza damu kwa haraka zaidi mojawapo ni juisi ya kiazi kikuu au 'beetroot juice' ambayo hupandisha kiwango cha damu kwa haraka sana.
Kwa maelezo na ushauri zaidi unaweza kuwasiliana na Tabibu Abdallaha Mandai kwa simu namba 0716 300 200, 0784 300 300, 0769 400 800 au barua pepe dkmandaitz@gmail.com.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment