Image
Image

Mamia ya Warundi waamdamana kupinga ripoti ya UN inayohusu ukiukaji wa haki za kibinadamu

Raia wa Burundi wamefanya maandamano ya kupinga ripoti ya UN iliyochapishwa kuhusiana na ukiukaji wa haki za kibinadamu.Mamia ya Warundi walikusanyika katika mji mkuu wa Bujumbura na kuikashifu ripoti ya UN iliyotoa madai ya ukiukaji wa haki za kibinadamu na tahadhari ya mauaji ya halaiki nchini humo.
Waandamanaji hao walioandamana mbele ya jengo la UN, walitoa maelezo na kuikosoa ripoti hiyo  iliyoshindwa kubainisha wazi hali halisi ya Burundi.
Mnamo tarehe 19 Septemba, UN ilichapisha ripoti iliyobainisha kuendelezwa kwa ukiukaji wa haki za kibinadamu ingawaje viongozi wa serikali wanaodaiwa kuhusika wameshindwa kuchukuliwa hatua.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment