Image
Image

NDULU: Pato la taifa laongezeka kwa asilimia 6.7


Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, (BoT) Prof. Benno Ndulu amesema pato la taifa limeongezeka kwa asilimia 6.76 katika kipindi cha nusu ya kwanza ya mwaka 2016 (Januari hadi Juni) ukilinganisha na kipindi hicho mwaka jana ambapo nusu ya kwanza ya mwaka 2015 pato la taifa liliongezeka kwa asilimia 5.7.
Prof. Ndulu amezitaja Sekta zilizoongoza kwa kukuza pato hilo kuwa ni Uchukuzi na uhifadhi mizigo iliyochangia asilimia 17.4, uchimbaji madini na gesi asilimia 13.7 sekta ya mawasiliano asilimia 13 na sekta ya fedha na bima kwa asilimia 13.
Makusanyo ya ndani yameongezeka kwa asilimia 34.






Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment