Image
Image

Ajali ya Noah na Lori yaua 18, baada ya kugongana Shinyanga.

Watu 1 8  wamefariki dunia  na wengine watatu kujeruhiwa  baada ya gari dogo la abiria aina ya Noah waliokuwa wakisafiria kugonana na lori  aina ya Fuso Msalala Mkoani Shinyanga.
Gari dogo lilikuwa likitokea  Nzega Mkoani Tabora k wenda   Shinyanga na lory lililokuwa likitokea kahama  kwenda Dar  es Salaam  usiku wa kuamkia leo .
Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, MULIRO JUMANNE MULIRO amesema mbali na mashuda waliokuwepo katika eneo hilo kudai kuwa chanzo cha ajali kimesababishwa na  dereva wa  Noah kutaka kulipita gari aina ya Fuso lililoku w a mbele yake  na  Polisi  Kikosi cha Usalama Barabarani bado  inafanya uchunguzi kujiridhisha kuhusu chanzo  cha ajali hiyo .
Maiti tisa wa ajali hiyo wametambuliwa na kuchukuliwa na ndugu zao kwa ajili ya mazishi.
Kamanda Muliro ametoa angalizo kwa madereva watumiaji wen gine wa barabara wanaokiuka sher ia na kutozingatia alama za barabarani na kudai kuwa ajali nyingi zinasababishwa na uzembe.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment