Image
Image

Kesi ya kuua bila kukusudia, Mahakama kuu yasema Lulu ana kesi ya kujibu.

Mahakama Kuu jijini Dar es salaam, imesema muigizaji Elizabeth Michael (Lulu) ana kesi ya kujibu dhidi ya tuhuma za kuuwawa kwa msanii Steven Kanumba , hivyo anatakiwa kujitetea.
Taarifa hiyo imetolewa leo na Mahakama kuu baada ya kufunga kusikiliza ushahidi upande wa mashtaka na kumtaka muigizaji huyo kuanza kujiandaa kwa ajili ya kutoa utetezi wake.
Wakili wa Elizabeth, Peter Kibatala ambaye ndiye anayemtetea muigizaji huyo, aliomba muda wa dakika 40 ili wajiandae kufanya hivyo, na kesi yake inasikilizwa tena saa 5 asubuhi hii.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment