Hatua hiyo ikamlazimu msimamizi
wa uchaguzi huo, CASTRO MONY ambaye ni
Mwenyekiti kamati ya Umoja wa Katiba ya Wananchi-UKAWA Kanda ya Kusini kuwahoji wagombea watatu
na wajumbe ambao kwa kauli moja waliridhia uchaguzi huo uvunjwe.
Mkutano huo ulikuwa na wajumbe
160 wakiwamo makatibu kata, wenyeviti wa serikali za mitaa na matawi wameonesha
kusikitishwa na tukio hilo, na kutaka
uongozi wa juu wa CHADEMA kuwachukulia
hatua viongozi chama hicho wilaya kwa kuvuruga uchaguzi huo.
Endelea kusoma taarifa zetu na Like ukurasa wetu hapo juu,Kwa Maoni ushauri tuandikie hapa.
Endelea kusoma taarifa zetu na Like ukurasa wetu hapo juu,Kwa Maoni ushauri tuandikie hapa.
0 comments:
Post a Comment