Image
Image
News Alert: Wanachama 150 wa Chadema warudisha fomu na kujiunga na CCM  baada ya mbunge wa jimbo la kalambo kutoa msaada wa gari la kubebea wagonjwa.

News Alert: Wanachama 150 wa Chadema warudisha fomu na kujiunga na CCM baada ya mbunge wa jimbo la kalambo kutoa msaada wa gari la kubebea wagonjwa.

Read More
Dk.Shein:Kuongezeka kwa kasi makusanyo kupitia Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) ni uthibitisho kuwa Mamlaka hiyo inatekeleza majukumu yake ipasavyo.

Dk.Shein:Kuongezeka kwa kasi makusanyo kupitia Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) ni uthibitisho kuwa Mamlaka hiyo inatekeleza majukumu yake ipasavyo.

Read More
News Alert: Makundi ya wazee yapaza sauti zao kwa serikali kuhakikisha inakemea hospitali zake kwa kushindwa kuwa tambua na kupinga sera zao.

News Alert: Makundi ya wazee yapaza sauti zao kwa serikali kuhakikisha inakemea hospitali zake kwa kushindwa kuwa tambua na kupinga sera zao.

Read More
News Alert: UKAWA yatoa msimamo wake juu ya njama zinazoonesha kutaka kuahirishwa uchaguzi mkuu Octoba mwaka huu.

News Alert: UKAWA yatoa msimamo wake juu ya njama zinazoonesha kutaka kuahirishwa uchaguzi mkuu Octoba mwaka huu.

Read More
News Alert: Madaktari bingwa 16 kutoka nchini AUSTRALIA wamefanyia upasuaji wa moyo Watoto 15  hospitali ya Bugando

News Alert: Madaktari bingwa 16 kutoka nchini AUSTRALIA wamefanyia upasuaji wa moyo Watoto 15 hospitali ya Bugando

Read More
News Alert: ITV yashinda tuzo ya ubora SUPERBRAND Afrika Mashariki kwa mwaka 2015 na 2016 kundi la makampuni  kumi bora  katika tuzo hizo.

News Alert: ITV yashinda tuzo ya ubora SUPERBRAND Afrika Mashariki kwa mwaka 2015 na 2016 kundi la makampuni kumi bora katika tuzo hizo.

Read More
News Alert:Jinamizi la ajali bado laendelea kutesa wasafiri,basi la kampuni ya TAKBIR lavaana na ABOOD Mikese Morogoro.

News Alert:Jinamizi la ajali bado laendelea kutesa wasafiri,basi la kampuni ya TAKBIR lavaana na ABOOD Mikese Morogoro.

Read More
Wakazi wa kitongoji cha KITAME katika halmashauri ya wilaya ya BAGAMOYO washauriwa kutowakataa wawekezaji.

Wakazi wa kitongoji cha KITAME katika halmashauri ya wilaya ya BAGAMOYO washauriwa kutowakataa wawekezaji.

Read More
News Alert:Mabadiliko ya tabia nchi kuathiri uhifadhi wa mazingira na mzunguko wa wanyamapori katika Ukanda wa uhifadhi wa Serengeti.

News Alert:Mabadiliko ya tabia nchi kuathiri uhifadhi wa mazingira na mzunguko wa wanyamapori katika Ukanda wa uhifadhi wa Serengeti.

Read More
News Alert:Watu 50 mkoani Rukwa wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa kufanya vitendo vya ujangili.

News Alert:Watu 50 mkoani Rukwa wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa kufanya vitendo vya ujangili.

Read More
News Alert:Magyufuli ameapa kula sahani moja na uongozi wa kampuni inayojenga barabara za mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam.

News Alert:Magyufuli ameapa kula sahani moja na uongozi wa kampuni inayojenga barabara za mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam.

Read More
Dk.Shein:Matibabu ya Bongo na Uti wa mgongo ni hatua muhimu ya kuimarisha huduma za afya Zanzibar.

Dk.Shein:Matibabu ya Bongo na Uti wa mgongo ni hatua muhimu ya kuimarisha huduma za afya Zanzibar.

Read More
News Alert:Mahakama ya hakimu mkazi mjini Singida,imewahukumu madereva wanne wa  magari ya abiria na mizigo, adhabu ya kutumikia jela jumla ya miezi kumina mbili

News Alert:Mahakama ya hakimu mkazi mjini Singida,imewahukumu madereva wanne wa magari ya abiria na mizigo, adhabu ya kutumikia jela jumla ya miezi kumina mbili

Read More
Sumatra imesema kuwa hakunasababu ya kuendelea kuwa na vitengo vya kuzuia ajali za barabarani kama  ajali  zitaendelea kupoteza maisha kila uchao.

Sumatra imesema kuwa hakunasababu ya kuendelea kuwa na vitengo vya kuzuia ajali za barabarani kama ajali zitaendelea kupoteza maisha kila uchao.

Read More
Chama cha walimu Tanzania mkoani mara kimepinga agizo la mkuu wa mkoa la kuwataka kubadili ratiba za masomo.

Chama cha walimu Tanzania mkoani mara kimepinga agizo la mkuu wa mkoa la kuwataka kubadili ratiba za masomo.

Read More
Katoni za  maji ya kunywa kutoka kampuni mbali mbali zilizoingizwa kinyemela kutoka nchini Kenya zakamatwa na kuteketezwa.

Katoni za maji ya kunywa kutoka kampuni mbali mbali zilizoingizwa kinyemela kutoka nchini Kenya zakamatwa na kuteketezwa.

Read More
Ubovu wa Barabara wasababisha adha kubwa ya usafiri na hivyo mkuu wa mkoa kukwama kwa saa kadhaa Tunduru-SONGEA.

Ubovu wa Barabara wasababisha adha kubwa ya usafiri na hivyo mkuu wa mkoa kukwama kwa saa kadhaa Tunduru-SONGEA.

Read More
Lukuvi amuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya jiji la mwanza kuwafikisha mahakamani watendaji wa ardhi wanaodaiwa kujihusisha na vitendo vya udanganyifu.

Lukuvi amuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya jiji la mwanza kuwafikisha mahakamani watendaji wa ardhi wanaodaiwa kujihusisha na vitendo vya udanganyifu.

Read More
Mbunge NATSE awataka wananchi wa karatu kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.

Mbunge NATSE awataka wananchi wa karatu kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.

Read More
Yanga watwaa ubingwa, waishushia polisi kichapo kitakatifu cha goli 4 kwa moja uwanja wa taifa Dar es Salaam.

Yanga watwaa ubingwa, waishushia polisi kichapo kitakatifu cha goli 4 kwa moja uwanja wa taifa Dar es Salaam.

Read More
Ikulu imekana kuwepo kwa njama zozote za kutaka kumdhuru mwenyekiti mtendaji wa IPP LIMITED, DK. REGINALD MENGI.

Ikulu imekana kuwepo kwa njama zozote za kutaka kumdhuru mwenyekiti mtendaji wa IPP LIMITED, DK. REGINALD MENGI.

Mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais,Ikulu, Salvatory  Rweyemamu.
Read More
Wananchi wa  Kwembe jijini Dar es  wavamia ofisi za wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi wakishinikiza kulipwa madai.

Wananchi wa Kwembe jijini Dar es wavamia ofisi za wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi wakishinikiza kulipwa madai.

Read More
Wananchi  wamshutumu mwenyekiti wao kwa ubadhilifu wa kula fedha za michango Ludewa.

Wananchi wamshutumu mwenyekiti wao kwa ubadhilifu wa kula fedha za michango Ludewa.

Read More
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali imedhamiria kuiimarisha Ofisi ya Takwimu ya Taifa ili iweze kutoa huduma bora siyo tu kwa Serikali bali hata kwa wananchi

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali imedhamiria kuiimarisha Ofisi ya Takwimu ya Taifa ili iweze kutoa huduma bora siyo tu kwa Serikali bali hata kwa wananchi

Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemteua Balozi Rajabu Hassan Gamaha kuwa Balozi wa Tanzania nchini Burundi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemteua Balozi Rajabu Hassan Gamaha kuwa Balozi wa Tanzania nchini Burundi.

Balozi Rajabu Hassan Gamaha
Read More
Wananchi wahimizwa kujitokeza kwa wingi katika kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura masasi Mkoani Mtwara

Wananchi wahimizwa kujitokeza kwa wingi katika kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura masasi Mkoani Mtwara

Read More
News Alert: Anusurika kifo baada ya gari kuteketea kwa moto katikati ya Coca Cola na Majembe Mikocheni jijini Dar es Salaam.

News Alert: Anusurika kifo baada ya gari kuteketea kwa moto katikati ya Coca Cola na Majembe Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Read More
Serikali yawatangazia kiama wazazi ambao wamewazuia  watoto wao kujiunga  na  kidato cha kwanza mwaka huu .

Serikali yawatangazia kiama wazazi ambao wamewazuia watoto wao kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu .

Read More
Dr Slaa asema hakuna sababu serikali kutumia gharama kubwa sherehe za muungano huku wananchi wakiteseka hali ngumu ya maisha

Dr Slaa asema hakuna sababu serikali kutumia gharama kubwa sherehe za muungano huku wananchi wakiteseka hali ngumu ya maisha

Read More
Serikali wilayani Ngorongoro mkoani Arusha imezionya baadhi ya taasisi zisizo za kiserikali zinazosababisha uvunjifu wa amani katika eneo la Ngorongoro.

Serikali wilayani Ngorongoro mkoani Arusha imezionya baadhi ya taasisi zisizo za kiserikali zinazosababisha uvunjifu wa amani katika eneo la Ngorongoro.

Read More
Rais Kikwete awaongoza watanzania Kuadhimisha miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar viwanja vya  Uhuru Dar es Salaam.

Rais Kikwete awaongoza watanzania Kuadhimisha miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar viwanja vya Uhuru Dar es Salaam.

Read More
Jumla ya vijiji 14 vya wilaya ya Ludewa mkoani Njombe vinatarajia kuanza kunufaika na mpango wa umeme vijijini

Jumla ya vijiji 14 vya wilaya ya Ludewa mkoani Njombe vinatarajia kuanza kunufaika na mpango wa umeme vijijini

Read More
Utafiti: Vyombo vya habari viripoti habari za Rushwa kuliko kuegemea zaidi kwenye habari za kijamii.

Utafiti: Vyombo vya habari viripoti habari za Rushwa kuliko kuegemea zaidi kwenye habari za kijamii.

Read More